Jumanne, 25 Septemba 2018

UMHIMU WA KUNUNUA HISA NA FAIDA ZAKE.

FAIDA NA UMHIMU WA KUNUNUA HISA

Wajasiriamali wanashauriwa kusoma baadhi ya vitabu ambavyo waandishi wameandika mada mbalimbali za ujasiriamali ikiwamo uwekezaji katika hisa.

Tafiti mbalimbali zinaonyesha kwamba zaidi ya asilimia 84 ya Watanzania wakiwamo wasomi na wengine ambao hawajabahatika kusoma hawajui au hawana elimu kuhusu kuwekeza katika hisa.

Hali hiyo inatokana na ukweli kwamba mada hii haijawekwa katika mitaala mbalimbali ya elimu. Kama ipo basi wale wanaostahili kuifundisha ama hawana uelewa mpana na uzoefu wa kuwawezesha wanafunzi wao kufahamu umuhimu wake katika medani za kiuchumi.

Hisa inaelezeka kwa namna mbalimbali, kwa ujumla wake hisa ni mali, rasilimali, kitegauchumi, hati miliki, biashara, dhamana ya mkopo, ni akiba, ni fedha iliyohifadhiwa, na ni mtaji.

Katika mtazamo wa kibiashara, hisa ni uwekezaji wa mtaji au fedha ambayo imewekezwa na mfanyakazi, mkulima, mfanyabiashara au mtu mwingine ambaye ameamua kununua hisa kutoka katika kampuni fulani kwa lengo la kupata faida kupitia gawio na ongezeko la bei ya hisa husika.

Uwekezaji katika hisa kama biashara nyingine unahitaji umakini na upembuzi yakinifu. Kufanya upembuzi wa wapi uwekeze fedha zako na wapi ununue hisa kwa msingi wa kupata faida.

Mjasiriamali au watu wengine wanaweza kufanya upembuzi yakinifu, lakini kama watu makundi niliyoyataja hapo juu wana uelewa wa kutosha na mbinu za kusoma taarifa mbalimbali za kampuni ambayo unakusudia kununua hisa. Kwa mfano, unapaswa kufanya upepenuzi yakinifu wa taarifa za fedha na hali halisi ya kampuni husika
katika soko la hisa.

Kwa upande mwingine, washauri wataalam wana ujuzi wa kufanya upembuzi yakinifu katika masuala ya uwekezaji kwenye soko la mitaji ambao wa wanapatikana kwenye masoko ya hisa katika jengo la Habour-view, mtaa wa Samora, jijini Dar es Salaam.
Ununuzi wa hisa unaweza kufanywa katika soko la awali mathalani pale kampuni inapotangaza kuuza hisa zake.
Baada ya kampuni kutangaza kuuza hisa, watu wananunua kwa thamani halisi, lakini baadaye zinauzwa katika soko la hisa ambako thamani ya hisa inabadilika kuendana na hali ya soko.

Tukiangalia upande wa kampuni, mpaka Agosti, mwaka huu kulikuwa na zaidi ya kampuni 16 zilizosajiliwa katika Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE). Kampuni 11 ni za kizalendo na kampuni sita ni za nje.

Kwa mujibu wa Emilian (2010), asilimia 0.39 tu ya Watanzania wamewekeza kwenye soko la hisa. Kutokana na tatizo hilo, bado ni tatizo kubwa kwa Watanzania na kwa jicho la pili ni fursa kubwa kwa wajasiriamali, wafanyakazi na wanafunzi kuwekeza katika hisa.

Uwekezaji katika hisa unachangamoto zake ikiwzmo kushuka kwa bei ya hisa, kukosa gawio, mfumuko wa bei, viwango vya riba, kukosa wanunuzi kutokana na ukwasi na hitilafu mbalimbali.

Kwa hali ya kawaida uwekezaji katika hisa una faida nyingi kuliko changamoto kwa mfano, kupata gawio baada ya kampuni kutengeneza faida, ongezeko la thamani ya hisa, punguzo la kodi ya zuio kwenye gawio.

Katika masuala ya hisa, hakuna kodi kwenye ongezeko la thamani, urahisi wa kuuza na kununua hisa, na ukiwekeza katika hisa unapata muda wa kufanya shughuli nyingine. Kwa upande mwingine hisa ni dhamana ya kupata mkopo, hisa ni urithi mzuri, ukijiwekea utaratibu wa kutenga asilimia fulani ya pato lako kutoka kwenye mshahara ama biashara kwa ajili ya kununua hisa ni uamuzi mzuri, na hisa pia ni utajiri

Tuna kukaribisha kuanza sasa kununua hisa katika soko la hisa katika kikundi cha @ABIOLA_SOLIDARITY GROUP Utapata faida kubwa katika kuwekeza hisa zako huwezi kujutia ndg mtanzania

Wasiliana nasi no
              0743 788 246
              0759 408 410
              0762 291 395
abiolasolidaritygroup@gmail.com

Jumatatu, 24 Septemba 2018

KANUNI NA TARATIBU ZA KUJIUNGA NA SOLIDARITY

KARIBU KWENYE UWEKEZAJI  JIUNGE NA
@ABIOLA_SOLIDARITY_GROUP

UTARATIBU WA KUJIUNGA
Unatakiwa kutoa kiasi cha Tsh laki moja na nusu tsh200,000/=

Kwa mchanganuo kama ifuatavyo tsh 40,000 ni pesa ya dharula endapo mwanachama atapatwa na matatizo yasiyo zuilika kikundi kitatoa pesa hii ya dharula kuna kiwango kimepangwa kwa manachama kama  unaungauliwa nk,

Tsh30,000/= @ABIOLA_SOLIDARITY_GROUP INA OFFICE YAKE
Kila mwanachana mpya ambaye anahitaji kujiunga na Abiola solidariy group inakupasa ulipie kiasi cha Tsh20,000 kwa maana hii kwamba utakuwa umelipia gaharama za uendeshaji wa office yako ya abiola solidarity group,

KIASI CHA TSH 200,000/= LAKI MBILI
Hii pesa ndiyo kiingilio mahususi unatakiwa kulipa kuwa mwanachama mpya ambayo itakufanya kuwa mwanachama mpya na hai ukisha kujiunga utakuwa kama mwanchama mwanzilishi wa kikundi siku ikifika ya kupata gawio la kikundi na wewe mwanachama ulie ingia leo upata gawio hilo kama mwanachama wa zamani au mwanzilishi,

UNUNUAJI WA HISA
Mwanachama ukishajiunga unatakuwa kuwa unanunua hisa kwa sababu tayari umesha kuwa mmiliki wa hiki kikundi kikundi hakiwezi kusonga mbele bila kuwa na fedha pia wanachana wanatakiwa kuzalisha pesa zako zile wanaziweka kwenye kikundi hicho hivyo basi unapaswa kununua hisa kila siku hisa moja unauzwa kwa Tsh2000 kila mwanachama anatakiwa kununua hisa 3 kila wiki moja,

FAIDA YA KUNUNUA HISA
Kila mwanacha anawekeza pesa yake ifanye kazi kwahiyo unaponunua hisa utapata faida ya kupata kiasi kingine cha fedha yako ulio nunua hisa maana ya kuwa kila hisa moja unapata asilimia 2.5% ya hisa yako,

Mfano umenunua hisa za sh 5000 baadae ya mda kufika wa kuchukua hisa zako unapata Tsh 5500 hadi 6000,

#Utapata kujifunza mafunzo yote ya ujasiriamali bure Masomo ambayo utajifunza bure ni

1 Kutengeneza Sabuni za maji soap liquid

2 Kutengeneza Batiki aina zote

3 kutengeneza juice za matunda

4 Kutengeneza cake na pipi toff

Kama hujaelewa vizuri basi usisite kutupigia au kuwasiliana nasi abiolasolidaritygroup@gmail.com
simu no:_ 0743 788 246
                   0759 408 410
                  
Malipo yote yanalipwa kwa njia ya Bank Account no 24210007526 NMB jina ni ABIOLA SOLIDARITY GROUP

Karibu sana Abiola solidarity group.

Alhamisi, 20 Septemba 2018

NJIA 38 ZA KUPATA PESA

 Siri 39 za kuwa Milionea, Jinsi ya kupata pesa na kuwa tajiri👇✔

USIKOSE HII👉 Soma hapa jinsi ya kutafuta mabesti wa shule uliosoma nao

SIRI 39 ZA KUWA MILIONEA.

1. Tafuta fursa kila kona

2. Tumia kipaji chako.

3. Kuwa na nidhamu katika fedha - matumizi mazuri ya pesa, nidhamu kwa watu wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.

4. Kuwa na nidhamu katika afya yako: Afya ndio mtaji sahihi katika biashara yoyote - kuwa na mazoea ya kuangalia afya yako mara kwa mara nk.

5. Usipoteze muda - jali muda kuliko kitu chochote kwani muda ndio kila kitu, muda ni mali.

6. Shiriki kwenye makongamano au semina mbalimbali za ujasiriamali.

7. Kuwa na vyanzo vingi vya kukuletea kipato.

8. Tafuta maarifa kwa mamilionea mbalimbali duniani - soma historia za mamilionea jinsi walivyofanikiwa.

9. Jenga urafiki na taasisi za kifedha - mamilionea wengi hukopa fedha kutoka katika taasisi za kifedha - tembelea taasisi za fedha watakupa ushauri mbalimbali na watakupa mkopo, usisikilize maneno ya watu kuwa taasisi za pesa ni za watu matajiri hiyo sio kweli.

10. Kuwa na shauku, kuwa na fikra za kuwa milionea na wewe utakuwa.

11. Kuwa na imani kwamba utakuwa milionea na itakuwa hivyo.

12. Wekeza ktk miradi au biashara mbalimbali.

13. Wekeza sehemu yenye mahitaji ya bidhaa inayotakiwa kuzalishwa - angalia fursa hapo ulipo na wekeza.

14. Kuwa na bajeti katika mapato na matumizi yako.

15. Chunguza jamii yako wanakosa bidhaa gani kisha dili na bidhaa hiyo nawe utakuwa milionea.

16. Kuwa na wazo (Business idea): mamilionea wengi hutumia mawazo kutoka kwa watu mbalimbali kutengeneza pesa. Wazo ndio cheti cha kuwa milionea anza sasa fanyia kazi wazo lako ili kukuletea fedha.

17. Fanya vitu wewe mwenyewe - acha kufanya vitu kama fulani, usiige mtu, buni vya kwako, mamilionea huwa hawaigi, ukiwa mkweli kwako utakuwa mkweli kwa watu.

18. Kuwa na malengo - kumbuka hakuna maendeleo pasipo na malengo, fahamu hilo.

19. Kuwa na moyo wa ujasiri - usiogope kushindwa jitahidi ktk kupambana na maisha usikubali kubezwa au kuvunjwa moyo. Ukianguka nyanyuka tena, usifikirie kutakuwa na mtu wa kukusaidia zaidi ya kujisaidia mwenyewe.

20. Kuwa karibu na matajiri -usiogope kwani hao ni binadamu kama wewe, jaribu kuwadadisi ili wakupe mbinu mbali za kuwa tajiri hadi milionea. Ukiwa karibu nao unaweza ukapata nafasi ya kazi au kukuunganishia biashara ukaanza kufanya na kufanikiwa.

21. Mtangulize Mungu -mwabudu, msifu, mtolee sadaka, saidia masikini, wajane, wagonjwa, jenga nyumba za ibada. Mungu ndio kila kitu mtegemee yeye.

22. Fanya vitu kitofauti; fanya vitu vigeni, muonekano tofauti ingawa biashara ni ile ile, tumia lugha tofauti, panga bei tofauti, nk. Mfano aina tofauti za simenti, chupa za soda na juisi.

23. Acha woga - jaribu biashara yoyote, woga wako ndio umasikini wako, usiogope kukosolewa unapokosolewa ndio unajifunza. Usiogope mikopo, mamilionea wengi hufanya mambo ambayo wewe unayaogopa.

24. Kuwa na mtazamo chanya - usikubali mawazo hasi, marafiki zako wawe na mawazo chanya, usikubali kuvunjika moyo na usikubali mawazo yako yaingiliwe na mtu.

25. Anza kufanyia kazi wazo lako usisubiri mtu.

26. Kuwa na mipaka katika mambo yako - usifanye mambo kwa mkumbo, usiige, buni mambo yako. Mamilionea wengi wanabuni mambo yao hawapangiwi na mtu.

27. Dili na watu wenye kipato kidogo na kati katika biashara zako; mamilionea wengi hulenga mahitaji ya watu wa hali ya chini ambao ndio wengi hapa duniani. Baadhi ya mahitaji ya watu wa hali ya chini ni;

(a) Vyakula na vinywaji.
(b) Vifaa vya ujenzi.
(c) Vifaa vya umeme.

28.Kuwa mwaminifu -mamilionea wengi ni waaminifu ktk mali za watu. Wengi walikuwa wakipewa mali wakauze ndio walipe pesa, wanadhaminiwa malighafi za viwandani hadi wanamiliki viwanda vyao. Uaminifu ndio njia ya kukufanya uwe milionea.

29. Pokea ushauri kwa watu hasa kuhusiana na biashara yako - waulize watu kuhusu huduma yako ya biashara wanaionaje na fanyia kazi ushauri wao.

30. Kuwa na plani katika kazi zako kila siku.

31. Kuwa na maono ya jinsi unavyotaka maisha yako yawe.

32. Panua soko la bidhaa zako usitegemee soko la sehemu moja.

33. Ubunifu ni muhimu sana - fanya ubunifu ktk kuuza bidhaa zako ili mauzo yasishuke, kuwa mbunifu ktk wateja wako kwani itakusaidia kugundua wateja wako wanataka nini - kuwa karibu nao, wasikilize, waheshimu nk.

35. Nunua hisa katika mabenki, makampuni mbalimbali: Mamilionea wengi hununua hisa hivyo humiliki mabenki na makampuni mbalimbali.

36. Kuwa milionea kunaanzia kichwani mwako-ukiweka mawazo yako kichwani utakuwa milionea kweli utakuwa sio kusema tu mdomoni. Amini utakuwa milionea na utakuwa kweli.

37. Maneno ya walioshindwa yasikukwamishe safari yako ya kuwa milionea.

38. Ondoa neno haiwezekani wewe kuwa milionea - kila binadamu anaweza kuwa milionea.

39.Mshukuru Mungu kwa hicho alichokupa - kumbuka neema ya Mungu ndio imekufikisha hapo ulipo hivyo toa msaada kwa watu wasiojiweza, yatima, masikini, wajane, wagonjwa, toa sadaka, walemavu.

KUTENGENEZA SUNITAIZER

UTATENGENEZAJE SANITAIZER UKIWA NYUMBANI ILI KUJIKINGA NA CORONA Aina ya kwanza Mahitaji 🔸Vineger chupa nzima 🔸vodkta,au highlife hiz...