UTARATIBU WA KUJIUNGA NA SOLIDARITY
Unatakiwa kutoa kiasi cha Tsh laki moja na nusu tsh150,000/= Kwa mchanganuo kama ifuatavyo tsh 30,000 ni pesa ya dharula endapo mwanachama atapatwa na matatizo yasiyo zuilika kikundi kitatoa pesa hii ya dharula kuna kiwango kimepangwa kwa manachana kama unaungaulia nk tsh120,000/=
KIKUNDI KINA OFFICE YAKE
Kila mwanachana mpya ambaye anahitaji kujiunga na solidarity inakupasa ulipie kiasi cha Tsh30,000 kwa maana hii kwamba utakuwa umelipia gaharama za uendeshaji wa office yako ya solidarity
KIASI CHA TSH 100,000 LAKI MOJA
Hii pesa ndiyo kiingilio mahususi unatakiwa kulipa kwa mwanachama mpya ambayo itakufanya kuwa mwanachama mpya na hai ukisha kujiunga utakuwa kama mwanchama mwanzilishi wa kikundi siku ikifika ya kupapa gawio la kikundi na wewe mwanachama ulie ingia leo upata gawio hilo kama mwanachama wa zamani au mwanzilishi
UNUNUAJI WA HISA
Mwanachama ukishajiunga unatakuwa kuwa unanunua hisa kwa sababu tayari umesha kuwa mmiliki wa hiki kikundi Kikundi hakiwezi kusonga mbele bila kuwa na fedha pia wanachana wanatakiwa kuzalisha pesa zao zile wanaziweka kwenye kikundi hicho hivyo basi unapaswa kununua hisa kila siku hisa moja unauzwa kwa tsh2000 kila mwanachama anatakiwa kununua hisa 3 kila wiki moja
FAIDA YA KUNUNUA HISA
Kila mwanacha anawekeza pesa yake ifanye kazi kwahiyo unaponunua hisa utapata mkopo kwenye kikundi chako ambapo utapata mkopo wa riba nafuu sana tena wenye 5%_10% kwa mkopo huu hua hauna mashart hata kidogo maana wewe ni mmiliki wa kikundi hiki
Kama hujaelewa vizuri basi usisite kutupigia au kuwasiliana nasi via .abiolasolidaritygroup@gmail.com
simu no:_ 0743 788 246
0673 835 098
Karibu sana solidarity ni kiwanda
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni